bati imara zaidi 🇹🇿

jipatie bati

imara zinazovutia

pendezesha jengo lako kwa bati bomba na imara

bati zetu

corrugated (migongo midogo)
iT 5(migongo mipana)
(muundo kama vigae)

sifa za bati zetu

imara

zinadumu.

zinapendwa

zinavutia sana

za kisasa

trends mpya

kwanini bati bomba?

jionee sababu muhimu kwanini uchague bati zetu

BEI NAFUU

bati zetu ni bei nafuu kuliko wauzaji wengine

 

GARANTII YA MIAKA 10

tunatoa garantii ya miaka 10 kwa wanunuzi wetu

BATI ZA KISASA

bati zetu ni za kisasa zaidi na zinakidhi mahitaji ya soko

USHAURI WA KIUFUNDI

tunatoa ushauri wa kiufundi kwa wateja wetu

OFA!

.usafiri bure

.misumari  kilo 5

.garantii ya miaka 10

                   kwa wateja kuanzia bati 80

blog

Weka oda yako

Please enable JavaScript in your browser to complete this form.
siyo lazima kuweka email
weka maelezo ya bati unazotaka, eneo ulipo na maelezo mengine

ELIMU KUHUSU MABATI

ELIMU KUHUSU MABATI Katika miaka ya hivi karibuni mabati yamekuwa yakitumika zaidi katika kuezekea katika nchi za Afrika.Umuhimu wake unatoa sababu za kutosha ya wanaotaka kujenga kujifunza kwa kina kuhusu mabati na namna ya kuchagua. Mabati hutengenezwa kutokana na metali mbalimbali ikiwemo chuma,aluminium,zinc,kopa ama mchanganyiko kati ya metali mbalimbali ambao hujulikana kama aloi(Alloy) Alloy hutumika […]

JE NI GEJI GANI NZURI?

Geji ni thickness ya Bâti (Unene wa Bâti) kuna geji tofauti kama 30G, 28G na 26G. Jinsi namba ya geji inavyoshuka chini Ndio ubora wa Bâti unavyoongezeka mfano geji 30 na geji 28 Bâti ya geji 28 ina unene mkubwa kulinganisha na geji 30 hivyo basi geji 28 ni nzuri na bora zaidi kwa matumizi […]

wasiliana nasi!

BATIBOMBATZLTD

wazalishaji na wauzaji wa bati za msouth nchini Tanzania.

dar es salaam,
Tanzania

0656078230
0746 113 477